| |  Swahili Majeshi ya Israel yavamia Gaza Deutsche Welle Swahili Askari hao wa Israel wakiwa wamevalia miwani za kuona usiku huku wakiwa wamejipaka rangi usoni ,walivamia Gaza usiku, ambapo katika mapambano na wapiganaji wa Hamas watu tisa waliuawa wakiwemo wapiganaji watano wa Hamas, na kufanya idadi ya wapalestina waliyouawa mpaka sasa toka kuanza kwa mashambulizi hayo kufikia zaidi ya 450. Hakuna taarifa... photo: WN / Ahmed deeb Mashambulizi ya Israel huko Gaza yazidi kuwagawa Waarabu Deutsche Welle Swahili Mgawiko huo ni kati ya wale wenye itikadi kali za Kiislam ambao wana mvuto kwa umma na serikali za ukandamizaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinaonekana kushirikiana na Israel na Marekani. Hususan nchini Misri malumbano yamekuwa wazi kabisa kuliko ilivyokuwa kabla wakati wanachama wa chama tawala wakiwapa ushauri Waislamu wao wa itikadi kali washirika... photo: WN / Ahmed Deeb Banki Kuu ya Marekani yakata riba :0.25% Deutsche Welle Swahili Banki Kuu ya Marekani-US Federal Bank- jana iliteremsha kiwango cha riba hadi 0.25%.Hiki ni kima cha chini kabisa cha riba kwa mikopo katika historia ya Marekani.Banki Kuu ya Marekani ikatangaza kwamba kila silaha iliopo itumiwe ili kurejesha ukuaji uchumi na kuimarisha bei . Kwa muda wa sekunde moja hata bingwa wa maswali ya fedha na uchumi wa... photo: AP Photo Rais wa Marekani, ziarani Afghanistan. Deutsche Welle Swahili Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari, ambao pia ulihudhuriwa na Rais wa nchi hiyo, Hamid Karzai, katika makazi yake mjini Kabul, Rais Bush amekiri kuwepo kwa ugumu wa kurudisha amani nchini Afghanistan, ambako wanajeshi wa kigeni wapatao elfu 70, wamekuwa wakipambana na wapiganaji, ambao wameongeza kuwepo kwa ghasia nchini humo, tangu... photo: USAF file/SSgt. Jeremy Lock Obama atatangaza kikosi chake cha kushughulikia uchumi Deutsche Welle Swahili Kikosi hicho kinakabiliwa na kibarua kigumu cha kukabiliana na mgogoro wa kiuchumu mkali kuwahi kutokea katika historia ya uchumi wa nchi hiyo kwa kipindi cha miongo kadhaa iliopita. Katika hatua inayoonekana kama kuanza mikakati ya kukabiliana na mzozo wa kifedha unaoikumba nchi yake,Obama pia anatazamiwa kufanya mkutano na waandishi habari. Rais... photo: AP / Pablo Martinez Monsivais Waziri mkuu mpya ateuliwa nchini Thailand Deutsche Welle Swahili Vejjajiva mwenye umri wa miaka 44 anachukua mahala pa aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo Somchai Wongsawat wa chama cha People Power PPP, kilichotimuliwa madarakani kufuatia uamuzi wa Mahakama mwanzoni mwa mwezi. Uamuzi wa mahakama hiyo ulifuatia maandamano ya miezi mitatu ambayo kilele chake ilikuwa kuzingirwa na kufungwa kwa ... Hoffenheim waipiku B.Munich Deutsche Welle Swahili Hoffenheim imewapiku mabingwa watetezi Bayern Munich jana na kutawazwa wao mabingwa wa duru ya kwanza ya msimu wa Bundesliga- Kocha wa Chelsea -mbrazil Luiz Felipe Scolari amefadhahishwa kwanini Chelsea yashindwa kutamba nyumbani-FC barcelona na Samuel Eto-o watamba mbele ya mabingwa Real Madrid katika La Liga na katika kinyanganyiro cha kombe la... Miaka 30 ya uhusiano wa kibalozi baina ya Uchina na Marekani Deutsche Welle Swahili Viongozi wa Uchina na Marekani wameupongeza uhusiano wa kibalozi baina ya nchi zao mbili uliodumu sasa kwa miaka 30, na kuuelezea kwamba ni moja ya uhusiano ulio wazi kabisa kupatikana katika karne ya 20. Lakini serekali za nchi hizo mbili zinasheherekea maadhimisho ya tokeo hilo kwa ukimya, bila ya mbwembwe. Waziri wa mambo ya kigeni... Kenya na Uganda kujenga njia ya reli Deutsche Welle Swahili Nchi hizo mbili kwa sasa zinaunganishwa na reli iliyojengwa mwanzoni mwa karne ya 20 na maafisa wanasema njia hiyo inasafirisha chini ya asilimi 6 ya bidhaa zinazokwenda ndani ya Kenya na nchi nyingine za eneo la Afrika Mashariki. Waziri wa usafiri wa Kenya, Chirau Ali Mwakwere, amesema ubora wa reli hiyo mpya ina umuhimu sio tu kwa uchumi wa nchi... Bilionea la Kijerumani lajiua baada ya biashara zake kwenda mrama Deutsche Welle Swahili Billionea huyo wa kijerumani aliyekuwa na umri wa miaka 74 aliamua kujitupa kwenye reli na kukanyagwa na treli huko kusini mwa mji wa Ulm. Kuyumba kwa uchumi wa dunia ndiko kulikochangia kuzoroto kwa biashara za billionea huyo na hivyo hakuona njia nyingine ila kuiaga dunia kuliko kuona akiwa na mzigo wa madeni. Mkuu wa polisi katika mji huo Ulm,... |