World News Network


Slideshow
Swahili
Palestinians sift though the rubble
Mapigano yachacha Ukanda wa Gaza wanajeshi watatu wa Israeli wauwawa
Deutsche Welle Swahili
  Mapigano makali yanaripotiwa kuendelea leo jumanne mashariki ya mji wa Gaza kati ya Hamas na vikosi vya Israeli.vikosi vya Israeli vimezungumza mji wa Gaza City.Ndege za kijeshi za Israel zimerusha mabomu kwenye jengo la ofisi za usalama la Hamas katikati ya mji wa Gaza na kuliacha likiwaka moto lakini hakuna mtu aliyeko ndani ya jumba...
photo: WN / Ahmed Deeb
 A Palestinian family make their way in Rafah, Southern Gaza, following a devastating Israeli incursion. At least 50 Palestinians were killed during the raid. The UN and Israeli human rights groups said hundreds of homes were wrecked. Some 1,600 people we
Ndege za Israel zaendelea kushambulia Ukanda wa Gaza
Deutsche Welle Swahili
Rais Bush ameilaumu Hamas kwa hali iliyozuka hivi sasa kwenye Ukanda wa Gaza.Amesisitiza kuwa makubaliano ya kusitisha mapigano hayawezi kupatikana...
photo: WN / Ahmed Deeb
Majeshi ya Israel yavamia Gaza
Majeshi ya Israel yavamia Gaza
Deutsche Welle Swahili
Askari hao wa Israel wakiwa wamevalia miwani za kuona usiku huku wakiwa wamejipaka rangi usoni ,walivamia Gaza usiku, ambapo katika mapambano na wapiganaji wa Hamas watu tisa waliuawa wakiwemo wapiganaji watano wa Hamas, na kufanya idadi ya wapalestina waliyouawa mpaka sasa toka kuanza kwa mashambulizi hayo kufikia zaidi ya 450. Hakuna taarifa...
photo: WN / Ahmed deeb
Wanaofaidika nani na vita hivi vya sasa Mashariki ya kati?
Wanaofaidika nani na vita hivi vya sasa Mashariki ya kati?
Deutsche Welle Swahili
Israel inaendelea kulishambulia eneo la Gaza tangu siku tatu zilizopita.Idadi ya waliopoteza maisha yao inazidi kuongezeka,ulimwengu wa kiarabu umeghadhibika.Eti kweli hiyo ndiyo njia ya kuwashinda nguvu Hamas? Mwenyekubeba dhamana ya balaa lote hili linaloisibu Gaza,ni Hamas tuu.Kwa kuamua kusitisha makubaliano ya kuweka chini silaha,siku tisaa...
photo: WN / Ahmed Deeb
Israel's air force continued to launch attacks along the Gaza Strip
Mashambulizi ya Israel huko Gaza yazidi kuwagawa Waarabu
Deutsche Welle Swahili
Mgawiko huo ni kati ya wale wenye itikadi kali za Kiislam ambao wana mvuto kwa umma na serikali za ukandamizaji ambazo kwa kiasi kikubwa zinaonekana kushirikiana na Israel na Marekani. Hususan nchini Misri malumbano yamekuwa wazi kabisa kuliko ilivyokuwa kabla wakati wanachama wa chama tawala wakiwapa ushauri Waislamu wao wa itikadi kali washirika...
photo: WN / Ahmed Deeb
Theoneste Bagosora reacts as he sits in the court at the International Criminal Tribunal for Rwanda, in Arusha, Tanzania, Thursday, Dec. 18, 2008, where he was found guilty of genocide and crimes against humanity. Bagosora the main organizer behind the 1994 slaughter of more than 500,000 people in Rwanda was convicted of genocide Thursday and sentenced to life in prison, the most significant verdict of a U.N. tribunal set up to bring the killers to justice. Bagosora also was found responsible for the deaths of former Rwandan Prime Minister Agathe Uwilingiyimana and 10 Belgian peacekeepers.
Bagosora ahukumiwa kifungo cha maisha.
Deutsche Welle Swahili
Mahakama  ya  Umoja  wa  Mataifa leo imetoa   adhabu  ya  kifungo  cha miasha jela  kwa  aliekuwa  kanali  wa jeshi la  Rwanda Theoneste Bagosora baada  kupatikana  na hatia  ya kushiriki katika  mauaji  ya watu  800,000 nchini...
photo: AP / ICTR
Poland  - Oil Prices - OKN Orlen.
OPEC kupunguza uzalishaji wa mafuta wa mapipa milioni mbili kwa siku ili kupandisha bei ya mafuta
Deutsche Welle Swahili
 Hilo ni jaribio la kuongeza bei ya mafuta na mapato ya nchi zinazozalisha mafuta kwa wingi duniani. Makubaliano hayo yamefikiwa katika mkutano usio wa kawaida mjini Oran nchini Algeria na kufanya upunguzaji huo wa mafuta wa mkupuo mmoja kuwa mkubwa kabisa kuwahi kufanywa na kundi hilo. ____________________________________________________...
photo: WN / marzena
 Federal Reserve Chairman Ben Bernanke addresses a meeting of the Chicago Economic Club, Thursday, Ju
Banki Kuu ya Marekani yakata riba :0.25%
Deutsche Welle Swahili
Banki Kuu ya Marekani-US Federal Bank- jana iliteremsha kiwango cha riba hadi 0.25%.Hiki ni kima cha chini kabisa cha riba kwa mikopo katika historia ya Marekani.Banki Kuu ya Marekani ikatangaza kwamba kila silaha iliopo itumiwe ili kurejesha ukuaji uchumi na kuimarisha bei . Kwa muda wa sekunde moja hata bingwa wa maswali ya fedha na uchumi wa...
photo: AP Photo
 Coalition Forces Soldiers made up of US Military, Royal Canadian Army (RCA), and Afghanistan Military Forces (AMF) board a US Army (USA) CH-47 Chinook helicopter at a mountainside landing zone 7,500- feet above sea level in the Tora Bora region of Afghan
Rais wa Marekani, ziarani Afghanistan.
Deutsche Welle Swahili
Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa habari, ambao pia ulihudhuriwa na Rais wa nchi hiyo, Hamid Karzai, katika makazi yake mjini Kabul, Rais Bush amekiri kuwepo kwa ugumu wa kurudisha amani nchini Afghanistan, ambako wanajeshi wa kigeni wapatao elfu 70, wamekuwa wakipambana na wapiganaji, ambao wameongeza kuwepo kwa ghasia nchini humo, tangu...
photo: USAF file/SSgt. Jeremy Lock
Barack Obama
Obama atatangaza kikosi chake cha kushughulikia uchumi
Deutsche Welle Swahili
Kikosi hicho kinakabiliwa na kibarua kigumu cha kukabiliana na mgogoro wa kiuchumu mkali kuwahi kutokea katika historia ya uchumi wa nchi hiyo kwa kipindi cha miongo kadhaa iliopita. Katika hatua inayoonekana kama kuanza mikakati ya kukabiliana na mzozo wa kifedha unaoikumba nchi yake,Obama pia anatazamiwa kufanya mkutano na waandishi habari. Rais...
photo: AP / Pablo Martinez Monsivais
Wakili wa Rais wa zamani wa Iraq, ajitokeza kumtetea mwandishi aliyemtukana Rais Bush.
Deutsche Welle Swahili
Wakili huyo mwenye makao yake mjini Amman, Jordan, Khalil Al Dulaimi amesema mpaka sasa Wairaq 200 na mawakili wengine, wakiwemo Wamarekani wameelezea nia yao ya kutaka kumtetea mwandishi huyo wa habari wa Iraq, ambaye alimtupia kiatu Rais Bush wakati alipofanya ziara ya mwisho na ya kuaga mjini Baghdad. Amesema...
Waziri mkuu mpya ateuliwa nchini Thailand
Deutsche Welle Swahili
Vejjajiva mwenye umri wa miaka 44 anachukua  mahala pa aliyekuwa waziri mkuu wa nchi hiyo  Somchai Wongsawat wa chama cha People Power PPP, kilichotimuliwa madarakani kufuatia uamuzi wa Mahakama mwanzoni mwa mwezi. Uamuzi wa mahakama hiyo ulifuatia maandamano ya miezi mitatu ambayo kilele chake ilikuwa kuzingirwa na kufungwa kwa ...
Hali nchini Somalia baada ya rais kutaka kumng'oa madarakani waziri mkuu
Deutsche Welle Swahili
Bunge la Somalia limeamua kumuunga mkono waziri mkuu na serikali ya mpito dhidi ya rais Abdullahi Yusuf Ahmed aliyetangaza kulivunja baraza la mawaziri na kwa namna hiyo kuzidi kuididimiza nchi hiyo ya pembe ya Afrika katika janga la kisiasa linalokorofisha juhudi za amani. Siku moja tuu baada ya rais Abdullahi Yusuf Ahmed kusema ameamua kumng'oa...
Hoffenheim waipiku B.Munich
Deutsche Welle Swahili
Hoffenheim imewapiku mabingwa watetezi Bayern Munich jana na kutawazwa wao mabingwa wa duru ya kwanza ya msimu wa Bundesliga- Kocha wa Chelsea -mbrazil Luiz Felipe Scolari amefadhahishwa kwanini Chelsea yashindwa kutamba nyumbani-FC barcelona na Samuel Eto-o watamba mbele ya mabingwa Real Madrid katika La Liga na katika kinyanganyiro cha kombe la...
Israel yalegeza mashambulizi yake Gaza kwa saa 3 kwa siku.
Deutsche Welle Swahili
Vituo vya eneo la mpakani baina ya Gaza na Misri vilifunguliwa kwa mara ya kwanza leo tangu mapigano hayo yaanze disemba 27 mwaka uliopita, huku juhudi za kimataifa zikiendelea katika kujaribu kuutanzua mzozo huo. Hatua hiyo imetokea huku baraza la mawaziri la Israel likiripotiwa kwamba huenda likaridhia mpango wa amani uliopendekezwa na Misri wa...
Miaka 30 ya uhusiano wa kibalozi baina ya Uchina na Marekani
Deutsche Welle Swahili
 Viongozi wa Uchina na  Marekani wameupongeza uhusiano wa kibalozi baina ya nchi zao mbili uliodumu sasa kwa miaka 30, na kuuelezea kwamba ni moja ya uhusiano ulio wazi kabisa kupatikana katika karne ya 20. Lakini serekali za nchi hizo mbili zinasheherekea maadhimisho ya tokeo hilo kwa ukimya, bila ya mbwembwe. Waziri wa mambo ya kigeni...
Kenya na Uganda kujenga njia ya reli
Deutsche Welle Swahili
Nchi hizo mbili kwa sasa zinaunganishwa na reli iliyojengwa mwanzoni mwa karne ya 20 na maafisa wanasema njia hiyo inasafirisha chini ya asilimi 6 ya bidhaa zinazokwenda ndani ya Kenya na nchi nyingine za eneo la Afrika Mashariki. Waziri wa usafiri wa Kenya, Chirau Ali Mwakwere, amesema ubora wa reli hiyo mpya ina umuhimu sio tu kwa uchumi wa nchi...
Bunge la Ethiopia laridhia sheria, kuwekea vikwazo mashirika ya kiraia yanayofadhiliwa zaidi.
Deutsche Welle Swahili
Chini ya sheria hiyo, Shirika lolote litakalokuwa linapokea ufadhili wa zaidi ya asilimia 10, kutoka nje, litachukuliwa kuwa ni Shirika la Kigeni na hivyo kupigwa marufuku kuendesha shughuli zozote za kijamii, jinsia, haki za watoto na kutatua mizozo katika eneo hilo. Aidha upinzani hawakupigia kura muswada huo,...
Bilionea la Kijerumani lajiua baada ya biashara zake kwenda mrama
Deutsche Welle Swahili
Billionea huyo wa kijerumani aliyekuwa na umri wa miaka 74 aliamua kujitupa kwenye reli na kukanyagwa na treli huko kusini mwa mji wa Ulm. Kuyumba kwa uchumi wa dunia ndiko kulikochangia kuzoroto kwa biashara za billionea huyo na hivyo hakuona njia nyingine ila kuiaga dunia kuliko kuona akiwa na mzigo wa madeni. Mkuu wa polisi katika mji huo Ulm,...
Billionea la Kijerumani lajiua baada ya kupata biashara zake kwenda mrama
Deutsche Welle Swahili
Billionea huyo wa kijerumani aliyekuwa na umri wa miaka 74 aliamua kujitupa kwenye reli na kukanyagwa na treli huko kusini mwa mji wa Ulm. Kuyumba kwa uchumi wa dunia ndiko kulikochangia kuzoroto kwa biashara za billionea huyo na hivyo hakuona njia nyingine ila kuiaga dunia kuliko kuona akiwa na mzigo wa madeni. Mkuu wa polisi katika mji huo Ulm,...
Media Kit WN Toolbar Languages Jobs Submit Photos WN Links Text Link Ads © 2009 WN Network
Contact our Advertising team for Advertising or Sponsorship on World News Network